Jawabu:
Mashia wanaamini kuwepo kwa Mungu mmoja, Mwumba wa ulimwengu, mwenye kuruzukum mwenye kuhuisha, Mjuzi, Muweza, Hai, Mdiriki, Mwenyeenzi, Asiye na Mwanzo wala Mwisho, Msemi, Mkweli, Asiye na mwili, Asiyeonekana, Asiyebadilika. Asiye na mshirika, Naye ni mwadilifu katika vitendo, maamrisho na uumbaji, kama anavyosema Mwenyewe katika Qur’an: “hakika mola wako si dhalim kwa waja wake”. (Qur’an,3:181).
Thursday, January 21, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment